- Raila alitoa taarifa Jumatano na kuwashukuru Wakenya kwa jumbe zao za heri njema walipopata habari ameugua
- Aliwahakikishia kuwa anaendelea kupata nafuu na kutaka wasiwe na hofu kuhusu hatma yake
- Maswali hata hivyo yameibuka kuhusu hali yake mwili wake kiafya kwani ni safari ya tatu sasa kulazwa hospitali
Kinara wa ODM Raila Odinga amezungumza kuhusu hali yake ya kiafya baada ya kulazwa hospitalini Jumanne Machi 9.
Wakenya Jumatano waliamkia taarifa za wasiwasi kuhusu afya ya kiongozi huyo wa ODM na kuelezea hofu yao kupitia mitandao.
Did Cardi B and Offset get back together? After a few months of uncertainty, fans are convinced that the on-and-off couple are back together.
Source: Getty ImagesIt goes without saying that relationships have their ups and downs — whether you’re a celebrity or a normal person. You can be compatible with someone and still go through unfortunate situations, or find yourself fighting for something that’s just not working. And for a long time, fans thought that Cardi B and Offset's relationship definitely fell under the latter.
According to the U.S. federal law, Nigerian applicant must apply on their own for a visa to the United States. However, this person can be invited by someone who already lives in the U.S. which can make the process of getting a visa a little easier. If you were thinking about traveling to the USA, you might need to know what documents are needed. A letter of invitation is a good way to prove that you are a reliable citizen who has a valid reason for visiting and is not expected to ruin the welfare and stability of the country.
YouTube vlogger best known for her self-titled channel, where she has gained more than 1.3 million subscribers by posting vlogs about sex, beauty tips, and tag videos. She also became popular on the video streaming site YouNow.
Before Fame In April 2014, she posted her first YouTube video, titled "20 Dinge die Frauen sagen, und was sie dann wirklich meinen."
Trivia One of her most popular YouTube videos is "Nachts ALLEIN zuhause!
- Rais Kenyatta amewaita MCAs wa Jubilee Nairobi kwenye mkutano wa Ikulu
- Mkutano huo utafanyika Jumamosi huku wadadisi wakishuku huenda Rais anataka kuingilia kati hatari ya Sonko kubanduliwa
- MCAs hao wamekuwa wakipanga kumbandua Sonko na mswada unatarajiwa kuwasilishwa Jumanne, Machi 3
Rais Uhuru Kenyatta amewaita MCA wa Jubilee kaunti ya Nairobi katika Ikulu.
MCAs hao wamearifiwa wawe wamefika kufikia saa 8:45am na kuketi Jumamosi, Februari 29.
Habari Nyingine: Refarenda ya BBI haiwezekani kabla ya mwezi Juni, Karua asema