- Gavana Kingi alielezea wasiwasi wake kuhusu visa vingi vya maambukizi ya COVID-19 vinavyozidi kuripotiwa kaunti ya Kilifi
- Alidokeza kwamba wakazi wanapuuza kanuni zilizotangazwa na Wizara ya Afya kudhibiti msambao wa ugonjwa huo
- Waziri wa Elimu George Magoha alitangaza kwamba taasisi zote za elimu zitafunguliwa Januari 4, 2021
Hofu imetanda katika Shule ya Upili ya Marafa baada ya wanafunzi 38 kuripotiwa kuambukizwa virusi vya corona.
Gavana wa Kilifi Amason Jeffa Kingi mnamo Jumanne, Noemba 17 alielezea wasiwasi wake kufuatia msambao wa haraka wa ugonjwa huo ambao umevamia taasisi za elimu.
The National Leader of the All Progressives Congress (APC), Bola Tinubu on Friday stated that ruling Nigeria requires intelligence, smartness and not strength to resolve the crisis rocking the country. The Presidential aspirant stated this on Friday while addressing party delegates in Minna ahead of the party primaries.
He stated that Nigerians are looking for a president who will look at economic opportunities and turn them around to prosperity.
Tinubu in his statement said, “A President’s job is not to climb mountains, wrestle or carry concrete.
Katie Pavlich is a lady that will make anyone rethink the notion that reserved people are slow. Indeed, Katie is just the opposite of slow despite being reserved and laid back. The influential journalist is one of the few known world journalists whose career is well rooted, and many can only dream of.
Fans and viewers become acquainted with journalists from frequently interacting with them via their screens. As such, they develop an interest and want to know more about these celebrities.
- Mwili wa msichana huyo mwenye umri wa miaka 14 ulipatikana umetupwa katika shamba la miwa ukiwa ndani ya gunia
- Duru zinaarifu kwamba msichana huyo alikuwa ametumwa sokoni na wazazi wake Jumatano,Disemba 16 kabla ya kukumbana na mauti
- Imeripotiwa kwamba msichana huyo alibakwa kabla ya kuuawa, waliotekeleza kitendo hicho wanasakwa na maafisa wa polisi
Msichana mwenye umri wa miaka 14 eneo la Kitale ameripotiwa kubakwa na kuuawa kinyama na watu wasiojulikana
Award winning Nollywood actor, Ramsey Nouah has got a lovely family and he is one of the few Nigerian celebrities whose marriage is still going strong.
He was born in Edo, Nigeria to an Isreali/ Lebanese father while is mother is from Yoruba to be precise, Owo in Ondo state.
Ramsey is married to Emilia and they have have two lovely kids together.
In case you have been wondering what his wife and kids look like, wonder no more.